Nimependa hii katuni na ujumbe wake, watanzania tuwe makini siku ya kupiga kura (31st Oct 2010), usikose kutetea haki yako ya MIAKA 5 ijayo. Tusilalamike pembeni tu, usikose kupiga kura yako kwa mgombea safi kwa maendeleo ya TAIFA letu la Tanzania.
tumepewa fursa ya kufanya mabadiliko na kuachana na hizi ngebe za mavuvuzela.......its on Tanzanians.....lets make a change......and May our Loving father Bless you all
3 Maoni::
Nimependa hii katuni na ujumbe wake, watanzania tuwe makini siku ya kupiga kura (31st Oct 2010), usikose kutetea haki yako ya MIAKA 5 ijayo. Tusilalamike pembeni tu, usikose kupiga kura yako kwa mgombea safi kwa maendeleo ya TAIFA letu la Tanzania.
Ujumbe nimeupata kiutu uzima
tumepewa fursa ya kufanya mabadiliko na kuachana na hizi ngebe za mavuvuzela.......its on Tanzanians.....lets make a change......and May our Loving father Bless you all
Post a Comment